KESHO SIKU YA JMOSI KWA WANAFUNZI WA VYUO VYOTE HAPA DAR KUTAKUWA NA INERLECTUALS GRAND BONANZA CHINI YA UDHAMINI WA GRAND MALT KINYWAJI CHENYE KIMEA HALISI, BONANZA HILO NITAFANA KATIKA VIWANJA VYA TCC CLUB CHANG'OMBE KURASINI.... MADENTI WOTEE MNAARIFIWA KUHUDHULIA KWANI KUNA MICHEZO KIBAO IKIWEMO FOOTBALL,BASKETBALL,NETBALL,VOLLEYBALL,RUNNING RACE NA TABLE TENNIS NA KIINGILIO NI BUREEEEE KABISA...... ITASHEREHESHWA NA TEMBA,CHEGE,CHID BENZ NA WANAUME TMK CREW..... Kwa info zaidi tembelea www.thazealottz.blogspot.com upate taarifa zaidi..!!
temba na chege stejini
VYUO KIBAO VIMEJITOKEZA KUSHIRIKI KAMA TIME SCHOOL OF JOURNALISM(TSJ), DAR ES SALAAM SCHOOL OF JOURNALISM(DSJ), INSTITUTE OF FINANCE AND MANAGEMENT(IFM), UNIVERCITY OF DAR ES SALAAM(UDSM), TIA,DIT, TUMAINI MZUMBE,OPEN UNIVERSITY, ST JOSEPH, NA VINGINE KIBAO VINAVYOPATIKANA HAPA DSM.. KWA MUJIBU WA MUAANDAAJI WA BONANZA HILO BW INNOCENT AMESEMA ITAKUWA NI YA KIPEKEE NA NI MOJA YA NAFASI YA KUWAUNGANISHA WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI KWA KUSHIRIKI KATIKA MICHEZO HIYO ILIYOANDALIWA NA KAMPUNI YA SERENGETI BREWELIES LIMITED CHINI YA KINYWAJI CHA GRAND MALT.
innocent ktk press conference
NAWATAKIA UJIRANI MWEMA WANAFUNZI WOTEE NA WAJUMUIKE KWA AMANI.... tha zealot
HARD PRICE COMING SOON
-
* Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa
kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila
nisinge...
TSJ yang'ara mashindano ya Utangazaji 2013
-
*Frank Aman, *Mwananchi
*Dar es Salaam*. Chuo cha uandishi wa habari cha Time School of Journalism
(TSJ) kibeibuka kidedea kwa kupata alama za juu katika...
QUEEN SPEAR NI BALAA
-
*Hii ni Poster ya Queen Spear,iliyosheheni mastaa kibao..inatabiliwa kuwa
ni filamu itakayofanya vizuri sana katika soko la filamu Tanzania..Usikose
kunu...
0 comments:
Post a Comment