BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Monday, February 21, 2011

TIME SCHOOL OF JOURNALISM 10th GRADUATION CELEMONY.

wahitimu Lilian Andrew kushoto, Willium mwila katikati na Frank aman kulia.
Frank Aman Mawenya na sista Lilian Mawenya.
Mhitimu Grace Sima.

Meza kuu Mgeni rasmi na Mwenyekiti wa bodi TSJ.

Baadhi ya wahitimu wa mwaka 2010 TSJ.

MC aliyesheresha shughuli nzima.

Ma commedist nao walifunika palee....Abdalllah, pascal  na mmja jina limenitoka.

Ukumbi ulivyokuwa.
Chuo cha uandishi wa habari cha Time School of Journalism wiki iliyopia siku ya jumamosi tarehe 19 feb 2011  kulikuwa na mahafali ya kumi ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya uandishi wa habari kwa ngazi ya Diploma na Certificate kwa mwaka 2010- 2011. Sherehe hizo zilifanyika katika maeneo ya msimbazi center katika ukumbi wa Maranatha.Sherehe hizo zilihudhuliwa na wageni mbali mbali wa heshima na kupambwa na michezo mbali mabali kama uonavyo katika picha…. Mimi nilikuwa mmoja wa wahitimu hao.
Kwa matukio zaidi tazama picha hapo juu ujionee..