BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Saturday, September 4, 2010

LEO KATIKA JUKWAA LA FILAMU www.filamutanzania.blogspot.com



INI EDO, TONTO DIKE WAPATA SKENDO YA KUSAGANA.


Tonto Dike


Tangu Nollywood diva, Ini Edo aingie rasmi katika ndoa na, Philip Ehiagwina, mfanya biashara maarufu anaye fanyia shughuli zake marekani, amekuwa akipatwa na uvumi kuwa ana mahusiano na wanawake wenzake, kutokana na taarifa tofauti tofauti zinazovuma chini chini nchini Nigeria.
Kwamba katika ndoa yake na Philip kuna migongano na inasemekana kuwa amekuwa na wakati mgumu katika ndoa yake hiyo. Kuna habari zinazo vuma chini chini hivi sasa kuwa ana mahusiano na mwanamke mwenzake tabia inayotambulika kama ‘lesbianism’.



Ini Edo

Skendo hiyo ambayo inamuhusu yeye na Mwigizaji mwingine kutoka Nollywood, Tonto Dike na Ini Edo ambao inasemekana kuwa wote walionekana wamelewa hivi karibuni kwenye location na walionekana wakifanya vitendo vilivyo washtua watu. Kwa mujibu wa mtoa habari amesema kuwa,Ini Edo and Tonto, wameonekana wakiwa usiku mmoja wakiwa pamoja na wameonekana wakifatana kama mapacha katika sehemu mbalimbali za starehe kama Alpha Beach, Lekki area huko Lagos.

Tonto Dike anaishi maeneo Abraham Adesanya huko Ajah area Lagos.Na kwa mujibu wa habari kutoka katika mtandao wa www.nigeriafilms.com ulifanya utafiti na kuona hali ya ulevi na utupu umeingilia maisha ya wanadada hao.





MCHUMBA WA MERCY JONHSON AMUONYA NYOTA HUYO WA NOLLYWOOD, KUWA OFFLINE KWENYE FACEBOOK



MERCY JONHSON


Hii inaweza isiwe habari nzuri kwa shabiki wa mwanadada huyu, Mercy Johnson ambaye ni mtumiaji wa mtandao maarufu wa kijamii ambao hutumiwa kuwasiliana na kuchat wa Face book. Habari ni kuwa, mercy, ameonywa na mpenzi wake, Prince Odi kutotumia profile yake yaani kuwa offline mpaka pale watakapo oana. Kwa mashabiki wote, unataarifiwa kuwa muigizaji huyo, Mercy mpaka hivi sasa hajatumia facebook kwa takribani muda wa mwaka mmoja sasa. Sababu ikiwa mpenzi wake huyo, Prince Odinosen kamuonya kutoitumia facebook kama kweli anatarajia kufunga nae ndoa.

Kama ni mmoja wa watu uliyekuwa unapenda kuchati na Mercy Johnson kwenye facebook, ufahamu kabisa kuwa profile picture ni yaMercy lakini maneno yaliyomo yanaandikwa na mchumba wake Prince Odinosen.

Sunday, August 29, 2010

LEO KATIKA JUKWAA LA FILAMU www.filamutanzania.blogspot.com

 

 

 

MCHUMBA WA MERCY JONHSON AMUONYA NYOTA HUYO WA NOLLYWOOD, KUWA OFFLINE KWENYE FACEBOOK




MERCY JONHSON


Hii inaweza isiwe habari nzuri kwa shabiki wa mwanadada huyu, Mercy Johnson ambaye ni mtumiaji wa mtandao maarufu wa kijamii ambao hutumiwa kuwasiliana  na kuchat wa Face book. Habari ni kuwa, mercy, ameonywa na mpenzi wake, Prince Odi kutotumia profile yake yaani kuwa offline mpaka pale watakapo oana. Kwa mashabiki wote, unataarifiwa kuwa muigizaji huyo, Mercy mpaka hivi sasa hajatumia facebook kwa takribani muda wa mwaka mmoja sasa. Sababu ikiwa mpenzi wake huyo, Prince Odinosen kamuonya kutoitumia facebook kama kweli anatarajia kufunga nae ndoa.

Kama ni mmoja wa watu uliyekuwa unapenda kuchati na Mercy Johnson kwenye facebook, ufahamu kabisa kuwa profile picture ni yaMercy lakini maneno yaliyomo yanaandikwa na mchumba wake  Prince Odinosen.

"Siwezi kuwa na mahusiano na mtu asiye kuwa na pesa!!" asema Uche Iwuji




Uche Iwuji


Siku kadhaa zimepita tangu mwanadada huyu aachane na boyfriend wake waliokuwa wakitoka pamoja kwa kile kinachodhaniwa kuwa jamaa ni choka mbaya,hii inatokana na maelezo kutoka kwa mwanadada huyu alivyo mzungumzia ex wake kwa waandishi wa habari walipo mhoji kisa cha kupigana chini na bwana wake na alikuwa na haya ya kusema.


"Nimeachana nae kwa kuwa hakuweza kunitimizia mahitaji yangu niliyohitaji na siwezi kuvumilia kuona nafsi yangu inahangaika kumuhudumia mwanaume. Kama unataka kunioa mimi nafikiri uwe na uwezo wa kunihudumia. Huhitaji kunipa kitu chochote. Usinipatie mahitaji yote ya dunia,naihitaji unipe kidogo tuu, kama chukua pesa hii, nenda katengeneze nywele. Chukua pesa hii, safiri, chukua usafiri wa ndege. Lazima uoneshe unajali, nionyeshe kuwa wewe ni mwanaume.Acha nione na nihisi nina mwanaume ndani ya nyumba. Huna haja ya kuniambia kuwa wewe ni mwanaume, unatakiwa unionyehse hivyo. Kwa nini niendelee kuteseka  kwa mwanaume ambaye hawezi kunitimizia mahitaji yangu? Aliyekuwa mpenzi wangu alikuwa anajua kupenda lakini ni mtu asiye weza kunitimizia mahitaji yangu na ndio sababu kubwa nimeachana nae." Muigizaji wa kike Uche Iwuji akizungumza na mwandishi wa habari kuhusiana na kwa nini ameachana na boyfriend wake?.

Amesema - "chukua pesa hii, nenda salon katengeneze nwyele"? nahisi amenukuu vibaya.
Hii si kitu ambacho wasanii wachanga wanaweza kusoma na kujifunza kutoka kwa mkongwe kama huyu ambaye wanategemea kujifunza kutoka kwake”.maoni ya mmoja wa waandishi aliye kuwa akizungumza na dada huyu kuhusiana na skendo hiyo.

"CRAZY LOVE" KUTOKA KWA KANUMBA THE GREAT

 
Miongoni mwa mambo ambayo yanatia moyo nchini kwetu ni pamoja na kuendelea kukua kwa tasnia ya filamu kama ambavyo tumekuwa tukishuhudia. Ukuaji huo unakwenda sambamba na kuona kwamba,siku baada ya siku, wapenzi wa filamu za “nyumbani” wanazidi kuongezeka na kwa maana hiyo industry nzima ya filamu inazidi kukua.
Lakini uungwaji mkono huo haukuja bure tu. Umetokana na tabia nzuri ambayo wasanii wengi wa sanaa hiyo wameionyesha.Wamekubali kukosolewa na kusikiliza maoni ya wadau mbalimbali wa masuala ya filamu na kuyafanyia kazi ipasavyo.

KANUMBA THE GREAT
Miongoni mwa wasanii hao ni pamoja na Steven Kanumba ambaye bila shaka sote tunakubaliana kwamba kila kukicha ameonyesha kuwa na bidii kubwa kabisa katika kuboresha kazi zake na uigizaji wake kwa ujumla.
Mwezi huu(August),Kanumba ameweza kuthibitisha jinsi anavyozidi kukomaa katika sanaa hiyo,kwa kutoka filamu ambayo imepewa jina Crazy Love(Part 1 & 2). Kwa mujibu wake yeye mwenyewe kupitia blog yake,ili kuweza kuigiza katika filamu hiyo,ilimbidi kusoma vitabu mbalimbali vya wanafalsafa mashuhuri ulimwenguni kama vile Plato,Karl Max,Alexander The Great,Samuel Taylor nk ili kuelewa zaidi mambo yanayohusu tabia za binadamu,falsafa nk.
Je usomaji huo ulimsaidiaje Kanumba katika Crazy Love?Usikose kununua makala halisi ya filamu hiyo pindi kwani sasa inashambuliwa kama njugu.

LEO KATIKA JUKWAA LA FILAMU www.filamutanzania.blogspot.com

MCHUMBA WA MERCY JONHSON AMUONYA NYOTA HUYO WA NOLLYWOOD, KUWA OFFLINE KWENYE FACEBOOK




MERCY JONHSON


Hii inaweza isiwe habari nzuri kwa shabiki wa mwanadada huyu, Mercy Johnson ambaye ni mtumiaji wa mtandao maarufu wa kijamii ambao hutumiwa kuwasiliana  na kuchat wa Face book. Habari ni kuwa, mercy, ameonywa na mpenzi wake, Prince Odi kutotumia profile yake yaani kuwa offline mpaka pale watakapo oana. Kwa mashabiki wote, unataarifiwa kuwa muigizaji huyo, Mercy mpaka hivi sasa hajatumia facebook kwa takribani muda wa mwaka mmoja sasa. Sababu ikiwa mpenzi wake huyo, Prince Odinosen kamuonya kutoitumia facebook kama kweli anatarajia kufunga nae ndoa.

Kama ni mmoja wa watu uliyekuwa unapenda kuchati na Mercy Johnson kwenye facebook, ufahamu kabisa kuwa profile picture ni yaMercy lakini maneno yaliyomo yanaandikwa na mchumba wake  Prince Odinosen.

"Siwezi kuwa na mahusiano na mtu asiye kuwa na pesa!!" asema Uche Iwuji




Uche Iwuji


Siku kadhaa zimepita tangu mwanadada huyu aachane na boyfriend wake waliokuwa wakitoka pamoja kwa kile kinachodhaniwa kuwa jamaa ni choka mbaya,hii inatokana na maelezo kutoka kwa mwanadada huyu alivyo mzungumzia ex wake kwa waandishi wa habari walipo mhoji kisa cha kupigana chini na bwana wake na alikuwa na haya ya kusema.


"Nimeachana nae kwa kuwa hakuweza kunitimizia mahitaji yangu niliyohitaji na siwezi kuvumilia kuona nafsi yangu inahangaika kumuhudumia mwanaume. Kama unataka kunioa mimi nafikiri uwe na uwezo wa kunihudumia. Huhitaji kunipa kitu chochote. Usinipatie mahitaji yote ya dunia,naihitaji unipe kidogo tuu, kama chukua pesa hii, nenda katengeneze nywele. Chukua pesa hii, safiri, chukua usafiri wa ndege. Lazima uoneshe unajali, nionyeshe kuwa wewe ni mwanaume.Acha nione na nihisi nina mwanaume ndani ya nyumba. Huna haja ya kuniambia kuwa wewe ni mwanaume, unatakiwa unionyehse hivyo. Kwa nini niendelee kuteseka  kwa mwanaume ambaye hawezi kunitimizia mahitaji yangu? Aliyekuwa mpenzi wangu alikuwa anajua kupenda lakini ni mtu asiye weza kunitimizia mahitaji yangu na ndio sababu kubwa nimeachana nae." Muigizaji wa kike Uche Iwuji akizungumza na mwandishi wa habari kuhusiana na kwa nini ameachana na boyfriend wake?.

Amesema - "chukua pesa hii, nenda salon katengeneze nwyele"? nahisi amenukuu vibaya.
Hii si kitu ambacho wasanii wachanga wanaweza kusoma na kujifunza kutoka kwa mkongwe kama huyu ambaye wanategemea kujifunza kutoka kwake”.maoni ya mmoja wa waandishi aliye kuwa akizungumza na dada huyu kuhusiana na skendo hiyo.

"CRAZY LOVE" KUTOKA KWA KANUMBA THE GREAT

 
Miongoni mwa mambo ambayo yanatia moyo nchini kwetu ni pamoja na kuendelea kukua kwa tasnia ya filamu kama ambavyo tumekuwa tukishuhudia. Ukuaji huo unakwenda sambamba na kuona kwamba,siku baada ya siku, wapenzi wa filamu za “nyumbani” wanazidi kuongezeka na kwa maana hiyo industry nzima ya filamu inazidi kukua.
Lakini uungwaji mkono huo haukuja bure tu. Umetokana na tabia nzuri ambayo wasanii wengi wa sanaa hiyo wameionyesha.Wamekubali kukosolewa na kusikiliza maoni ya wadau mbalimbali wa masuala ya filamu na kuyafanyia kazi ipasavyo.

KANUMBA THE GREAT
Miongoni mwa wasanii hao ni pamoja na Steven Kanumba ambaye bila shaka sote tunakubaliana kwamba kila kukicha ameonyesha kuwa na bidii kubwa kabisa katika kuboresha kazi zake na uigizaji wake kwa ujumla.
Mwezi huu(August),Kanumba ameweza kuthibitisha jinsi anavyozidi kukomaa katika sanaa hiyo,kwa kutoka filamu ambayo imepewa jina Crazy Love(Part 1 & 2). Kwa mujibu wake yeye mwenyewe kupitia blog yake,ili kuweza kuigiza katika filamu hiyo,ilimbidi kusoma vitabu mbalimbali vya wanafalsafa mashuhuri ulimwenguni kama vile Plato,Karl Max,Alexander The Great,Samuel Taylor nk ili kuelewa zaidi mambo yanayohusu tabia za binadamu,falsafa nk.
Je usomaji huo ulimsaidiaje Kanumba katika Crazy Love?Usikose kununua makala halisi ya filamu hiyo pindi kwani sasa inashambuliwa kama njugu.