BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Wednesday, December 21, 2011

MAAFA DAR..







Sunday, December 18, 2011

BADEF WAZINDUA KAMPENI YA UELEWA JUU ALBINO..


Mbunge   wa Lindi Mjini Salum Barwany akizungumza wakati mkutano na waandishi jijini Dar es Salaam jana, kuhusu maandalizi ya chakula kwa ajili ya harambee ya  cha kuchangia Sh500millioni kwenye mfuko wa maendeleo ya watu wenye ulemavu wa ngozi  wa Barwany Albinism  development trust fund (BADEF), hafla inatajiwa kufanyika mwenzi wa pili mwaka ujao. Kushoto ni Mtunza fedha wa BADEF, Thomas Monji na kulia nimsaidizi wa Mbunge, Godfrey Mbowe.