BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Friday, May 25, 2012

Diamond kutumbuiza Big Brother...


Msanii Diamond(jina kamili Naseeb Abdul), wikiendi hii anatarajiwa kuwa nje ya mipaka ya Tanzania wakati atakapopanda jukwaa kuburudisha wakati wa Live Eviction Show ya Big Brother Africa(BBA) huko Johanesburg, South Africa siku ya Jumapili saa mbili usiku kwa saa za Afrika ya Kati.
Diamond ambaye mapema mwaka huu aliongoza kwa kutwaa Tuzo za Kilimanjaro nchini Tanzania, ametangazwa hivi karibuni kuwemo katika orodha ya wasanii wanaowania tuzo za MTV African Music Awards(MAMA). Way to go Diamond!