BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Tuesday, September 21, 2010

MWISHO KUMUOA MERYL WA BBA JMUMAMOSI HII.

 
Leo Mwisho amekili kwa Big Brother kuwa anatarajia kumuoa Meryl siku ya jmosi  25 September.

katika shughuli zake za kila siku, Big Brother alimuhoji jinsi gani alivyo serious na mpango wake na mwisho alisema.
“Niko serious katika maisha na hivyo haita ni surprise mimi na haita kuwa surprise pia kwa familia yangu na rafiki zangu pia,” Mwisho alisema serious kutoka moyoni.


aliongeza kuwa, atakuwa makini zaidi. Big Brother alimuhoji nani atakuwa ni bestman wake na akasema kuwa atakuwa Uti.

ingawa  Uti na Mwisho hawajazungumza  kwa takribani siku tatu,lakini  Mwisho alisisitiza kuwa Uti atafanya hivyo.

Pale Big Brother alimuhoji kama aliwahi kuzungumza na mmoja wa housemates wa BBA, alijibu “wote” na akasema hakuna kati yao aliyepinga wazo. 



Ndani ya siku hii ya leo pia baada ya Mwisho na Mryl kutangaza kutaka kufunga ndoa,Meryl na Mwisho walikuwa wakilumbana kutokana na kile Mwisho anachokisema Maryl anatumia muda mwingi kuwa na housemate wa kiume ndani ya mjengo.

Meryl alijitetea kuwa hana cha kujiepusha bali ni kushirikiana nao hao housemates wenzake wa kiume kwa kuwa yeye ni Mwanamke peke yake aliyebaki mjengoni.

Pamoja na story hiyo mwisho hivi karibuni baada ya kuwa nomionated ktk  top five alijimwaga ktk jacuzi  na mchumba wake kufurahia..

After the Nominations show, washindi walioingia Top five wakatupia nguo kuleeeee then shaap dip in the jacuzzi. Bro Mwisho na shem wa Tanzania (Meryl) walipiga bonge bonge moja la deeeeep KISS almost four minutes .... daaaaaah ilikuwa utata pale kati mzeee!!!!.
Wadau tufanye uzalendo Bro wetu arudi home na kitita cha madollar kwa kumuokoa kutoka mjengoni by voting thru www.mnetafrica.com/bigbrother then utakuta maelekezo how to vote or thru ur mobile phone.
VOTE 4 MWISHO VOTE 4 TANZANIA.......!!!!!!!!!!!!!!!!

0 comments: