BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Sunday, August 14, 2011

P SQUARE WAVUNJA REKODI NA ALBUM YAO YA INVASION....


Wasanii twins Peter na Paul Okoye aka P-Square,wamepiga bonge la show wakati wa uzinduzi wa album yao mpya ya 5 pande za Expo Hall - Eko Hotels na kuvunja rekodi ya mauzo kiaina....nchini humo!


Album yao inaitwa Invasion,na ilikua kitaani Jumatano iliyopita na mpaka kufikia Jumamosi walikua wameshauza kama copy milioni 1 hivi...na wadau wa Nigeria wanasema kuwa huenda wakavunja rekodi ya mauzo kwa album zao zote 4 walizowahi kuzitoa tangu walipotoa ya kwanza mwaka 2003 ya Last Nite.

0 comments: