BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Saturday, July 17, 2010

Kupitia Sibuka Fm Sauti ya Jamii ya Afrika ya Mashariki katika masafa ya Satelite katika audio 4 right katika TBC1 television, Fm kwa 94.0 kwa Pwani na Dar, 104.9 kwa Shinyanga na pande za maswa kupitia 97.0 inasikika....!

Moja vijimambo vilivyojili katika wiki hii ndani ya sibuka fm radio!
Juma Bakari kazomba( JB) ndani ya nyumba!

Mrembo Anna Shoo member wa TSJ naye yumo!

Hapo chacha Jembe aka Omary Said na yeye hapitwi wiki hii...!


Daah! wa ukweli Halima Kambi.

Hapo ndani ya mjengoni napiga kazi Mkesha wa kazi baaaaby!!!!

Jembe naye huyo mkeshani!

One Love to all blog viewers wangu au sio tuko pamoja na kumbuka kutune frequence hizo pale kati braaaaaaah braaaaaaaaah utakwenda na maji!!!!!!!

0 comments: