BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Wednesday, July 14, 2010

Ndoa ya Christina Milian na The Dream yavunjika Kimya Kimya.!

Christina Milian na The Dream

Msanii Christina Millan na mume wake ambae ni mwimbaji/ mtaarishaji wa muziki na mwandishiwa nyimbo vilevile namzungumzia The Dream wameamua kutemana. Terius Nash a.k.a The Dream, ametoa taarifa hizo kwa mtandao wa UsMagazine.com, ambapo mtandao huo umeandika kuwa The Dream anasikitika kutangaza kuwa ndoa yake na Christina Milian haikufanikiwa, yaani imevunjika,




Wawili hawa walifikia hatua hii mwishoni mwa mwaka 2009, laikni waliamua kutokutoa taarifa hizo ili isije kumuathiri mtoto wao wa kike Violet, The Dream ameamua kutoa taarifa hizo kutokana na picha alizopigwa akiwa na msaidizi wake anayeitwa Melissa Santiago, picha hizo walipigwa wakiwa katika visiwa vya Caribbean, so watu wakahoji iweje mchizi aonekana na dem mwingine wakati ana wife? Dream akaona bora afunguke kuliko kuacha Funs wake wamuone yeye ni Play boy.

0 comments: