BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Wednesday, July 14, 2010

RIHANNA AZUNGUMZA NA EX BOY WAKE CHRISS BROWN!

 RIHANNA

Msanii wa muziki wa nchini marekani Rihanna azungumza na ex boy wake chris brown baada ya kutazama show kali aliyofanya Chris katika utoaji wa tuzo za wasanii bora nchini marekani, za BET 2010 awards.

Vyanzo vya habari vinasema kuwa Rihanna alioneka kupatwa na hisia na kufurahishwa na show hiyo aliyofanya msanii huyo aki perfome kwa hisia wimbo wa michael jackson wa "thriller", Rihanna asema kuwa hajawahi kumuona Chris akifanya hivyo hapo awali hivyo aliguswa na kumuona alivyokuwa.

Naye Chris alisema kuwa anajihisi kama sasa hivi anajiona amekua baada ya mwaka mmoja huo waliokuwa wametengana. Alisema kuwa nafuraha sana kuwa in touch na Rihanna.

CHRIS BROWN

Wapenzi hao wawili hawajazungumza karibu kwa mwaka mzima tangu Chris Brown alipotuhumiwa kwa kumpiga Rihanna Vibaya..!Sasa wamekuwa wakichat kwa kutumiana ujumbe mfupi pia wakiwa na plani ya kuja kuonana uso kwa uso ingawa kuna masharti ambayo Brown alikuwa amepewa,kuwa lazima awe umbali na Rihanna wa yard 100 kwa muda wa miaka mitano. duuh bonge la adhabu kwa umpendae!!

Suala la kujiuliza kuwa jee wanataka kurudiana nini??!

0 comments: