BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Friday, December 17, 2010

MSHINDI WA BONGO STAR SEARCH 4 NI MARIAM MOHAMED


MSHIRIKI wa shindano la kusaka vipaji vya uimbaji la Bongo Star Search,MIRIAM MOHAMED mwenye namba ya ushiriki BSS 17 Ameibuka mshindi kwa kujinyakulia kiasi cha shilingi milioni 30 kutoka kwa wadhamini wakuu wa Shindano hilo ambao ni TBL kupitia kinywaji cha Kilimanjaro Premium Lager.
 
Mariam Mohamed.


Mshindi wa pili wa shindano hilo ni... James Martin BSS 14 ....ambaye amejinyakulia kitita cha shilingi milioni kumi kutoka kwa wadhamini wenza wa shindano hilo ambao ni Airtel.
 
 James Martin.

Na mshindi wa tatu ni... joseph Payne BSS 07....ambaye amejinyakulia kiasi cha shilingi milioni tano 
joseph Payne.
Wakifuatiwa na Bella Kombo. ambaye ni mshindi wa nne na Waziri Salum ambaye ni mshiriki namba BSS 11 ambaye ni mshindi wa tano wa shindano hilo
Bella Kombo.
 
Waziri Salum. 

0 comments: