BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Monday, June 20, 2011

UZINDUZI WA FIESTA - MWANZA ITAKUWA FUNIKA BOVU.......CHRIS WAMALYA NDANI YA JENGO!

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Chris Wamarya anatarijiwa kutumbuiza katika tamasha la muziki FIESTA 2011 mjini mwanza kama msanii mpya wa mwaka huu..


Katika kipindi cha hivi karibuni tayari ameachia wimbo wake mpya ujulikanao kama TUTOKE baada ya kutesa na wimbo wake wa kilomita sita… Blog hii inamtakia kila la heri katika show zake zoote za FIESTA Haina majotrooooo
HABARI ZEENYU BAAANA
Hii ndo list ya wakali watakaotumbuiza siku ya Fiesta katika viwanja vya CCM-Kirumba jijini Mwanza katika Uzinduzi wa Fiesta 2011...

SHAGGY

1. Fid Q

2. mataluma

3. SHAGGY

4. Ali Kiba

5. mwana FA

6. Mwasiti

7. Dully Sykes

8. Juma Nature

9. Barnabas

10. Linah

11. Chriss wamalya

12. Makomando

13. Recho

14. Sajna

0 comments: