BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Sunday, September 18, 2011

Kiasi fulani Tunakua eeh..

wakati tanzania inaadhimisha miaka 50 ya uhuru kumekuwa na maoni tofauti juu ya mafanikio ya nchi yetu tangu kupata uhuru swali nililonalo ni kweli tumepiga hatua katika nyanja zote za kiuchumi, elimu, siasa na masuala mengine yahusuyo jamii na hasa miundombinu??? 

wewe pekee unaweza kuliona hilo kwa mtazamo wako hebu fikilia Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele? jibu unalo basi....

0 comments: