BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

www.thazealottz.blogspot.com

Promo

Tuesday, December 6, 2011

AJALI MBAYA YATOKEA MANDELA ROAD MAENEO YA RELINI MWANANCHI...

Abiria waliojeruhiwa wakipelekwa hospitali baada ya kupata ajari kwenye daladala aina ya Hiace yenye namba za usajiri T 214 AST linalofanya safari kati ya T/Hai na M/Sita,ambapo liliacha barabara na kugonba kituo eneo la Tabata Relini na kusababisha kifo cha mtu mmoja papo hapo jijini Dar es Salaam jana.
Wasamalia wema wakijaribu kuwanasua abiria waliokuwa kwenye daladala aina ya Hiace yenye namba za usajiri T 214 AST linalofanya safari kati ya T/Hai na M/Sita,ambapo liliacha barabara na kugonba kituo eneo la Tabata Relini na kusababisha kifo cha mtu mmoja papo hapo jijini Dar es Salaam jana.


Mwili wa marehemu aliyefariki kwa ajali ya gari ambaye jina lake halikufahamika haraka

0 comments: